1 Wafalme 11 : 18 1st Kings chapter 11 verse 18

Swahili English Translation

1 Wafalme 11:18

Wakaondoka katika Midiani, wakafika Parani; wakachukua pamoja nao watu toka Parani, wakafika Misri, kwa Farao mfalme wa Misri; aliyempa nyumba, akamwamria vyakula, akampa mashamba.
soma Mlango wa 11

1st Kings 11:18

They arose out of Midian, and came to Paran; and they took men with them out of Paran, and they came to Egypt, to Pharaoh king of Egypt, who gave him a house, and appointed him food, and gave him land.