1 Wafalme 14 : 28 1st Kings chapter 14 verse 28
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 14:28
Ikawa kila wakati mfalme alipoingia nyumbani mwa Bwana, hao walinzi walizichukua; wakazirudisha tena katika chumba cha walinzi.
|
1st Kings 14:28It was so, that as often as the king went into the house of Yahweh, the guard bore them, and brought them back into the guard-chamber. |