1 Wafalme 14 : 4 1st Kings chapter 14 verse 4
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 14:4
Akafanya hivi mkewe Yeroboamu, akaondoka, akaenda Shilo, akaja nyumbani kwa Ahiya. Basi Ahiya hakuweza kuona; kwa kuwa macho yake yamepofuka kwa sababu ya uzee wake.
|
1st Kings 14:4Jeroboam's wife did so, and arose, and went to Shiloh, and came to the house of Ahijah. Now Ahijah could not see; for his eyes were set by reason of his age. |