1 Wafalme 18 : 31 1st Kings chapter 18 verse 31

Swahili English Translation

1 Wafalme 18:31

Eliya akatwaa mawe kumi na mawili, kwa hesabu ya kabila za wana wa Yakobo, aliyejiliwa na neno la Bwana na kuambiwa, Jina lako litakuwa Israeli.
soma Mlango wa 18

1st Kings 18:31

Elijah took twelve stones, according to the number of the tribes of the sons of Jacob, to whom the word of Yahweh came, saying, Israel shall be your name.