1 Samweli 23 : 14 1st Samuel chapter 23 verse 14

Swahili English Translation

1 Samweli 23:14

Basi Daudi alikuwa akikaa nyikani ngomeni, akakaa katika nchi ya milima milima kwenye nyika ya Zifu. Naye Sauli alikuwa akimtafuta kila siku, lakini Mungu hakumtia mikononi mwake.
soma Mlango wa 23

1st Samuel 23:14

David abode in the wilderness in the strongholds, and remained in the hill-country in the wilderness of Ziph. Saul sought him every day, but God didn't deliver him into his hand.