1 Samweli 23 : 14 1st Samuel chapter 23 verse 14
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Samweli 23:14
Basi Daudi alikuwa akikaa nyikani ngomeni, akakaa katika nchi ya milima milima kwenye nyika ya Zifu. Naye Sauli alikuwa akimtafuta kila siku, lakini Mungu hakumtia mikononi mwake.
|
1st Samuel 23:14David abode in the wilderness in the strongholds, and remained in the hill-country in the wilderness of Ziph. Saul sought him every day, but God didn't deliver him into his hand. |