1 Samweli 30 : 10 1st Samuel chapter 30 verse 10

Swahili English Translation

1 Samweli 30:10

Lakini Daudi akakaza kufuata, yeye na watu mia nne; kwa maana watu mia mbili walikaa nyuma, ambao walitaka kuzimia hata hawakuweza kukivuka hicho kijito Besori.
soma Mlango wa 30

1st Samuel 30:10

But David pursued, he and four hundred men; for two hundred stayed behind, who were so faint that they couldn't go over the brook Besor.