1 Samweli 30 : 13 1st Samuel chapter 30 verse 13

Swahili English Translation

1 Samweli 30:13

Ndipo Daudi akamwuliza, Wewe u mtu wa nani; nawe umetoka wapi? Naye akasema, Mimi ni kijana wa Misri, mtumwa wa Mwamaleki mmoja; bwana wangu aliniacha, kwa sababu tangu siku hizi tatu nalishikwa na ugonjwa.
soma Mlango wa 30

1st Samuel 30:13

David said to him, To whom belong you? and whence are you? He said, I am a young man of Egypt, servant to an Amalekite; and my master left me, because three days ago I fell sick.