1 Samweli 30 : 22 1st Samuel chapter 30 verse 22

Swahili English Translation

1 Samweli 30:22

Ndipo watu waovu wote na wale wasiofaa, miongoni mwa hao waliokwenda pamoja na Daudi, wakasema, Kwa kuwa watu hawa hawakuenda pamoja na sisi, hatutawapa kitu cho chote katika hizo nyara tulizozitwaa tena, isipokuwa kila mtu atapewa mkewe na watoto wake, wawachukue na kwenda zao.
soma Mlango wa 30

1st Samuel 30:22

Then answered all the wicked men and base fellows, of those who went with David, and said, Because they didn't go with us, we will not give them anything of the spoil that we have recovered, except to every man his wife and his children, that he may lead them away, and depart.