2 Mambo ya Nyakati 21 : 3 2nd Chronicles chapter 21 verse 3

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 21:3

Baba yao akawapa zawadi kubwa, za fedha, na za dhahabu, na za tunu, pamoja na miji yenye maboma katika Yuda; lakini ufalme akampa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza.
soma Mlango wa 21

2nd Chronicles 21:3

Their father gave them great gifts, of silver, and of gold, and of precious things, with fortified cities in Judah: but the kingdom gave he to Jehoram, because he was the firstborn.