2 Mambo ya Nyakati 32 : 9 2nd Chronicles chapter 32 verse 9

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 32:9

Na baada ya hayo Senakeribu mfalme wa Ashuru, akatuma watumishi wake waende Yerusalemu, (naye alikuwapo mbele ya Lakishi, na uwezo wake wote pamoja naye,) kwa Hezekia, mfalme wa Yuda, na kwa Yuda wote waliokuwako Yerusalemu, kusema,
soma Mlango wa 32

2nd Chronicles 32:9

After this did Sennacherib king of Assyria send his servants to Jerusalem, (now he was before Lachish, and all his power with him), to Hezekiah king of Judah, and to all Judah who were at Jerusalem, saying,