2 Wafalme 10 : 14 2nd Kings chapter 10 verse 14
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 10:14
Akasema, Wakamateni wa hai. Wakawakamata wa hai, wakawaua penye birika ya nyumba ya kukatia manyoya kondoo, watu arobaini na wawili; wala hakumsaza mtu wao awaye yote.
|
2nd Kings 10:14He said, Take them alive. They took them alive, and killed them at the pit of the shearing-house, even two and forty men; neither left he any of them. |