2 Wafalme 13 : 10 2nd Kings chapter 13 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 13:10
Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yehoashi mwana wa Yehoahazi alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria, akatawala miaka kumi na sita.
|
2nd Kings 13:10In the thirty-seventh year of Joash king of Judah began Jehoash the son of Jehoahaz to reign over Israel in Samaria, [and reigned] sixteen years. |