2 Wafalme 16 : 2 2nd Kings chapter 16 verse 2
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 16:2
Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu; wala hakufanya mema machoni pa Bwana Mungu wake, kama Daudi babaye.
|
2nd Kings 16:2Twenty years old was Ahaz when he began to reign; and he reigned sixteen years in Jerusalem: and he didn't do that which was right in the eyes of Yahweh his God, like David his father. |