2 Wafalme 9 : 11 2nd Kings chapter 9 verse 11

Swahili English Translation

2 Wafalme 9:11

Ndipo Yehu akatoka akawaendea watumishi wa bwana wake. Mmoja wao akamwuliza, Je! Ni amani? Huyu mwenye wazimu amekujia kwa nini? Akawaambia, Ninyi mnamjua mtu huyu na habari ya maneno yake.
soma Mlango wa 9

2nd Kings 9:11

Then Jehu came forth to the servants of his lord: and one said to him, Is all well? why came this mad fellow to you? He said to them, You know the man and what his talk was.