2 Wafalme 9 : 11 2nd Kings chapter 9 verse 11
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 9:11
Ndipo Yehu akatoka akawaendea watumishi wa bwana wake. Mmoja wao akamwuliza, Je! Ni amani? Huyu mwenye wazimu amekujia kwa nini? Akawaambia, Ninyi mnamjua mtu huyu na habari ya maneno yake.
|
2nd Kings 9:11Then Jehu came forth to the servants of his lord: and one said to him, Is all well? why came this mad fellow to you? He said to them, You know the man and what his talk was. |