2 Samweli 14 : 17 2nd Samuel chapter 14 verse 17

Swahili English Translation

2 Samweli 14:17

Ndipo mimi mjakazi wako nikasema, Neno la bwana wangu mfalme na liwe la kustarehesha; kwa kuwa kama malaika wa Mungu ndivyo alivyo bwana wangu mfalme, kuyapambanua yaliyo mema na yaliyo mabaya; naye Bwana, Mungu wako na awe pamoja nawe.
soma Mlango wa 14

2nd Samuel 14:17

Then your handmaid said, Please let the word of my lord the king be comfortable; for as an angel of God, so is my lord the king to discern good and bad: and Yahweh your God be with you.