2 Samweli 18 : 33 2nd Samuel chapter 18 verse 33
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Samweli 18:33
Naye mfalme akataabika sana, akapanda juu, akaingia kile chumba kilichokuwa juu ya lango, akalia; na katika kwenda kwake alisema hivi, Mwanangu Absalomu! Ee mwanangu! Mwanangu Absalomu! Laiti ningalikufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu! </p>
|
2nd Samuel 18:33The king was much moved, and went up to the chamber over the gate, and wept: and as he went, thus he said, my son Absalom, my son, my son Absalom! would I had died for you, Absalom, my son, my son! |