2 Samweli 18 : 5 2nd Samuel chapter 18 verse 5

Swahili English Translation

2 Samweli 18:5

Mfalme akawaamuru Yoabu na Abishai na Itai, akasema, Mtendeeni yule kijana, Absalomu, kwa upole kwa ajili yangu. Nao watu wote wakasikia, mfalme alipowaagiza maakida wote katika habari za Absalomu.
soma Mlango wa 18

2nd Samuel 18:5

The king commanded Joab and Abishai and Ittai, saying, Deal gently for my sake with the young man, even with Absalom. All the people heard when the king gave all the captains charge concerning Absalom.