2 Samweli 19 : 43 2nd Samuel chapter 19 verse 43

Swahili English Translation

2 Samweli 19:43

Hao watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, wakasema, Sisi tunazo sehemu kumi katika mfalme, tena tunayo haki yetu katika Daudi zaidi kuliko ninyi; mbona basi ninyi mmetudharau sisi, lisitakwe kwanza shauri letu katika kumrudisha tena mfalme wetu? Na maneno ya watu wa Yuda yakawa makali kuliko maneno ya watu wa Israeli.
soma Mlango wa 19

2nd Samuel 19:43

The men of Israel answered the men of Judah, and said, We have ten parts in the king, and we have also more [right] in David than you: why then did you despise us, that our advice should not be first had in bringing back our king? The words of the men of Judah were fiercer than the words of the men of Israel.