Danieli 11 : 20 Daniel chapter 11 verse 20

Swahili English Translation

Danieli 11:20

Ndipo badala yake atasimama mmoja, atakayepitisha mwenye kutoza ushuru kati ya utukufu wa ufalme wake; lakini katika muda wa siku chache ataangamizwa, si kwa hasira, wala si katika vita.
soma Mlango wa 11

Daniel 11:20

Then shall stand up in his place one who shall cause a tax collector to pass through the kingdom to maintain its glory; but within few days he shall be destroyed, neither in anger, nor in battle.