Danieli 11 : 24 Daniel chapter 11 verse 24

Swahili English Translation

Danieli 11:24

Wakati wa amani atapaingia mahali palipofanikiwa sana pa wilaya hiyo; naye atatenda mambo ambayo baba zake hawakuyatenda, wala babu zake; atatawanya kati yao mawindo, na mateka, na mali; naam, atatunga hila zake juu ya ngome, hata wakati ulioamriwa.
soma Mlango wa 11

Daniel 11:24

In time of security shall he come even on the fattest places of the province; and he shall do that which his fathers have not done, nor his fathers' fathers; he shall scatter among them prey, and spoil, and substance: yes, he shall devise his devices against the strongholds, even for a time.