Danieli 8 : 2 Daniel chapter 8 verse 2

Swahili English Translation

Danieli 8:2

Nami naliona katika maono; ilitukia, nilipoona, nalikuwako huko Shushani ngomeni, katika wilaya ya Elamu; nikaona katika maono, nami nalikuwa karibu na mto Ulai.
soma Mlango wa 8

Daniel 8:2

I saw in the vision; now it was so, that when I saw, I was in Shushan the palace, which is in the province of Elam; and I saw in the vision, and I was by the river Ulai.