Kumbukumbu la Torati 10 : 8 Deuteronomy chapter 10 verse 8

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 10:8

Na wakati huo Bwana aliitenga kabila ya Lawi ili walichukue lile sanduku la agano la Bwana, wasimame mbele ya Bwana kwa kumtumikia, na kuwabarikia watu kwa jina lake, hata hivi leo.
soma Mlango wa 10

Deuteronomy 10:8

At that time Yahweh set apart the tribe of Levi, to bear the ark of the covenant of Yahweh, to stand before Yahweh to minister to him, and to bless in his name, to this day.