Kumbukumbu la Torati 10 : 8 Deuteronomy chapter 10 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 10:8
Na wakati huo Bwana aliitenga kabila ya Lawi ili walichukue lile sanduku la agano la Bwana, wasimame mbele ya Bwana kwa kumtumikia, na kuwabarikia watu kwa jina lake, hata hivi leo.
|
Deuteronomy 10:8At that time Yahweh set apart the tribe of Levi, to bear the ark of the covenant of Yahweh, to stand before Yahweh to minister to him, and to bless in his name, to this day. |