Kumbukumbu la Torati 12 : 17 Deuteronomy chapter 12 verse 17

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 12:17

Usile ndani ya malango yako zaka ya nafaka zako, wala ya divai yako, wala ya mafuta yako, wala wazaliwa wa kwanza wa makundi yako, ya ng'ombe wala ya kondoo, wala nadhiri zako uwekazo zo zote, wala sadaka zako za hiari, wala sadaka ya kuinuliwa ya mkono wako;
soma Mlango wa 12

Deuteronomy 12:17

You may not eat within your gates the tithe of your grain, or of your new wine, or of your oil, or the firstborn of your herd or of your flock, nor any of your vows which you vow, nor your freewill-offerings, nor the heave-offering of your hand;