Kumbukumbu la Torati 15 : 19 Deuteronomy chapter 15 verse 19
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 15:19
Wazaliwa wa kwanza waume wote wazaliwao katika kundi lako la ng'ombe na la kondoo, uwatakase kwa Bwana, Mungu wako; usifanye kazi kwa mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe wako, wala usimkate manyoya mzaliwa wa kwanza wa kundi lako la kondoo.
|
Deuteronomy 15:19All the firstborn males that are born of your herd and of your flock you shall sanctify to Yahweh your God: you shall do no work with the firstborn of your herd, nor shear the firstborn of your flock. |