Kumbukumbu la Torati 26 : 14 Deuteronomy chapter 26 verse 14
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 26:14
katika vitu hivyo sikula wakati wa kukaa matanga mimi, wala sikuviondoa nikiwa na unajisi, wala sikutoa kwa ajili ya wafu katika vitu hivyo; sauti ya Bwana, Mungu wangu, nimeisikiza, nimefanya yote, kama ulivyoniamuru.
|
Deuteronomy 26:14I have not eaten of it in my mourning, neither have I put away of it, being unclean, nor given of it for the dead: I have listened to the voice of Yahweh my God; I have done according to all that you have commanded me. |