Kumbukumbu la Torati 29 : 20 Deuteronomy chapter 29 verse 20

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 29:20

Bwana hatamsamehe mtu huyo, lakini wakati huo hasira ya Bwana na wivu wake vitafuka moshi juu ya mtu yule, na laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki itamkalia juu yake, na Bwana atalifuta jina lake chini ya mbingu.
soma Mlango wa 29

Deuteronomy 29:20

Yahweh will not pardon him, but then the anger of Yahweh and his jealousy will smoke against that man, and all the curse that is written in this book shall lie on him, and Yahweh will blot out his name from under the sky.