Kutoka 30 : 32 Exodus chapter 30 verse 32
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 30:32
Hayatamiminwa katika kiwiliwili cha binadamu, wala msifanye mengine mfano wa haya kama yalivyoungwa kwa viungo vyake; ni matakatifu, na kwenu ninyi yatakuwa matakatifu.
|
Exodus 30:32It shall not be poured on man's flesh, neither shall you make any like it, according to its composition: it is holy. It shall be holy to you. |