Kutoka 32 : 18 Exodus chapter 32 verse 18

Swahili English Translation

Kutoka 32:18

Akasema, Hiyo si sauti ya watu wapigao kelele kwa sababu ya kushinda vitani, wala si sauti ya watu wapigao kelele kwa sababu ya kushindwa; bali kelele za watu waimbao ndizo ninazozisikia mimi.
soma Mlango wa 32

Exodus 32:18

He said, "It isn't the voice of those who shout for victory, neither is it the voice of those who cry for being overcome; but the noise of those who sing that I hear."