Ezra 10 : 16 Ezra chapter 10 verse 16

Swahili English Translation

Ezra 10:16

Basi wana wa uhamisho wakafanya hivyo. Na Ezra, kuhani, akatengwa, pamoja na baadhi ya wakuu wa mbari za mababa, kwa hesabu ya mbari ya baba zao; na hao wote kwa majina yao. Wakaketi siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, ili kulichunguza jambo hilo.
soma Mlango wa 10

Ezra 10:16

The children of the captivity did so. Ezra the priest, [with] certain heads of fathers' [houses], after their fathers' houses, and all of them by their names, were set apart; and they sat down in the first day of the tenth month to examine the matter.