Mwanzo 43 : 16 Genesis chapter 43 verse 16
Swahili | English Translation |
---|---|
Mwanzo 43:16
Naye Yusufu alipomwona Benyamini pamoja nao, akamwambia msimamizi wa nyumba yake, Uwalete watu hawa nyumbani, ukachinje na kuandalia, maana watu hawa watakula pamoja nami adhuhuri.
|
Genesis 43:16When Joseph saw Benjamin with them, he said to the steward of his house, "Bring the men into the house, and butcher an animal, and make ready; for the men will dine with me at noon." |