Mwanzo 43 : 18 Genesis chapter 43 verse 18

Swahili English Translation

Mwanzo 43:18

Lakini watu hao wakaogopa kwa sababu wameletwa nyumbani mwa Yusufu, wakasema, Kwa sababu ya fedha zile zilizorudishwa katika magunia yetu mara ya kwanza tumeletwa humu; apate kutushitaki, na kutuangukia, atutwae sisi kuwa watumwa, na punda zetu.
soma Mlango wa 43

Genesis 43:18

The men were afraid, because they were brought to Joseph's house; and they said, "Because of the money that was returned in our sacks at the first time are we brought in; that he may seek occasion against us, and fall on us, and take us for bondservants, along with our donkeys."