Mwanzo 43 : 34 Genesis chapter 43 verse 34
Swahili | English Translation |
---|---|
Mwanzo 43:34
Wakapelekewa sehemu za chakula kutoka mezani pake, lakini akazidisha sehemu ya Benyamini iwe kubwa mara tano kuliko zao. Wakanywa, wakafanya furaha pamoja naye.
|
Genesis 43:34He sent portions to them from before him, but Benjamin's portion was five times as much as any of theirs. They drank, and were merry with him. |