Isaya 16 : 9 Isaiah chapter 16 verse 9

Swahili English Translation

Isaya 16:9

Basi, naililia mizabibu ya Sibma kwa kilio cha Yazeri, nitawanyeshea machozi yangu, Ee Heshboni na Eleale, kwa kuwa kelele za vita zimeyaangukia mavuno ya matunda yako, na mavuno ya mizabibu yako.
soma Mlango wa 16

Isaiah 16:9

Therefore I will weep with the weeping of Jazer for the vine of Sibmah; I will water you with my tears, Heshbon, and Elealeh: for on your summer fruits and on your harvest the [battle] shout is fallen.