Isaya 32 : 2 Isaiah chapter 32 verse 2

Swahili English Translation

Isaya 32:2

Na mwanadamu atakuwa kama mahali pa kujificha na upepo, na mahali pa kujisitiri na dhoruba; kama mito ya maji mahali pakavu, kama kivuli cha mwamba mkubwa katika nchi yenye uchovu.
soma Mlango wa 32

Isaiah 32:2

A man shall be as a hiding-place from the wind, and a covert from the tempest, as streams of water in a dry place, as the shade of a great rock in a weary land.