Isaya 32 : 2 Isaiah chapter 32 verse 2
Swahili | English Translation |
---|---|
Isaya 32:2
Na mwanadamu atakuwa kama mahali pa kujificha na upepo, na mahali pa kujisitiri na dhoruba; kama mito ya maji mahali pakavu, kama kivuli cha mwamba mkubwa katika nchi yenye uchovu.
|
Isaiah 32:2A man shall be as a hiding-place from the wind, and a covert from the tempest, as streams of water in a dry place, as the shade of a great rock in a weary land. |