Isaya 38 : 1 Isaiah chapter 38 verse 1

Swahili English Translation

Isaya 38:1

Siku hizo Hezekia aliugua, akawa katika hatari ya kufa; na Isaya nabii, mwana wa Amozi, akaenda kwa mfalme, akamwambia, Bwana asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona.
soma Mlango wa 38

Isaiah 38:1

In those days was Hezekiah sick to death. Isaiah the prophet the son of Amoz came to him, and said to him, Thus says Yahweh, Set your house in order; for you shall die, and not live.