Yakobo 2 : 21 James chapter 2 verse 21

Swahili English Translation

Yakobo 2:21

Je! Baba yetu Ibrahimu hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipomtoa Isaka mwanawe juu ya madhabahu?
soma Mlango wa 2

James 2:21

Wasn't Abraham our father justified by works, in that he offered up Isaac his son on the altar?