Yeremia 12 : 1 Jeremiah chapter 12 verse 1
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 12:1
Wewe u mwenye haki, Ee Bwana, nitetapo nawe, lakini nitasema nawe katika habari ya haki. Mbona njia ya wabaya inasitawi? Mbona wote watendao hila wanakaa salama?
|
Jeremiah 12:1Righteous are you, Yahweh, when I contend with you; yet would I reason the cause with you: why does the way of the wicked prosper? why are all they at ease who deal very treacherously? |