Yeremia 16 : 13 Jeremiah chapter 16 verse 13

Swahili English Translation

Yeremia 16:13

basi, kwa sababu hiyo, nitawatoeni katika nchi hii, na kuwaingiza katika nchi ambayo hamkuijua, wala ninyi wala baba zenu; na huko mtawatumikia miungu mingine mchana na usiku; kwa maana mimi sitawapa fadhili zangu hata kidogo.
soma Mlango wa 16

Jeremiah 16:13

therefore will I cast you forth out of this land into the land that you have not known, neither you nor your fathers; and there shall you serve other gods day and night; for I will show you no favor.