Yeremia 27 : 18 Jeremiah chapter 27 verse 18
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 27:18
Lakini ikiwa hao ni manabii, na ikiwa neno la Bwana liko kwao, basi na wamwombe Bwana wa majeshi, kwamba vyombo vile vilivyosalia katika nyumba ya Bwana, na katika nyumba ya mfalme wa Yuda, na hapa Yerusalemu, visiende Babeli.
|
Jeremiah 27:18But if they be prophets, and if the word of Yahweh be with them, let them now make intercession to Yahweh of Hosts, that the vessels which are left in the house of Yahweh, and in the house of the king of Judah, and at Jerusalem, don't go to Babylon. |