Yeremia 29 : 21 Jeremiah chapter 29 verse 21

Swahili English Translation

Yeremia 29:21

Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, katika habari za Ahabu, mwana wa Kolaya, na katika habari za Sedekia, mwana wa Maaseya, wawatabiriao ninyi maneno ya uongo kwa jina langu; Tazama, nitawatia katika mikono ya Nebukadreza, mfalme wa Babeli, naye atawaua mbele ya macho yenu.
soma Mlango wa 29

Jeremiah 29:21

Thus says Yahweh of Hosts, the God of Israel, concerning Ahab the son of Kolaiah, and concerning Zedekiah the son of Maaseiah, who prophesy a lie to you in my name: Behold, I will deliver them into the hand of Nebuchadrezzar king of Babylon; and he shall kill them before your eyes;