Yeremia 33 : 1 Jeremiah chapter 33 verse 1

Swahili English Translation

Yeremia 33:1

Tena, neno la Bwana likamjia Yeremia mara ya pili, hapo alipokuwa akali amefungwa katika uwanda wa walinzi, kusema,
soma Mlango wa 33

Jeremiah 33:1

Moreover the word of Yahweh came to Jeremiah the second time, while he was yet shut up in the court of the guard, saying,