Yeremia 39 : 10 Jeremiah chapter 39 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 39:10
Lakini Nebuzaradani, amiri wa askari walinzi, akawaacha baadhi ya maskini wa watu, waliokuwa hawana kitu, katika nchi ya Yuda, akawapa mashamba ya mizabibu na makonde wakati uo huo.
|
Jeremiah 39:10But Nebuzaradan the captain of the guard left of the poor of the people, who had nothing, in the land of Judah, and gave them vineyards and fields at the same time. |