Yeremia 39 : 18 Jeremiah chapter 39 verse 18

Swahili English Translation

Yeremia 39:18

Kwa maana ni yakini, nitakuokoa, wala hutaanguka kwa upanga, lakini nafsi yako itakuwa kama nyara kwako; kwa kuwa ulinitumaini mimi, asema Bwana.
soma Mlango wa 39

Jeremiah 39:18

For I will surely save you, and you shall not fall by the sword, but your life shall be for a prey to you; because you have put your trust in me, says Yahweh.