Yeremia 4 : 8 Jeremiah chapter 4 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 4:8
Kwa sababu hiyo jifungeni nguo za magunia; ombolezeni na kulia kwa uchungu; kwa maana hasira kali ya Bwana haikugeuka na kutuacha.
|
Jeremiah 4:8For this gird you with sackcloth, lament and wail; for the fierce anger of Yahweh hasn't turned back from us. |