Yeremia 44 : 14 Jeremiah chapter 44 verse 14

Swahili English Translation

Yeremia 44:14

hata katika watu wale wa Yuda waliosalia, waliokwenda nchi ya Misri ili wakae huko, hapatakuwa na mtu ye yote atakayepona, wala atakayesalia, na kupata kurudi nchi ya Yuda, ambayo wanatamani kurudi ili kukaa huko; maana hapana atakayerudi, ila wao watakaopona.
soma Mlango wa 44

Jeremiah 44:14

so that none of the remnant of Judah, who have gone into the land of Egypt to sojourn there, shall escape or be left, to return into the land of Judah, to which they have a desire to return to dwell there: for none shall return save such as shall escape.