Yeremia 44 : 18 Jeremiah chapter 44 verse 18

Swahili English Translation

Yeremia 44:18

Lakini tulipoacha kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, tumepungukiwa na vitu vyote; na kuangamizwa kwa upanga, na kwa njaa.
soma Mlango wa 44

Jeremiah 44:18

But since we left off burning incense to the queen of the sky, and pouring out drink-offerings to her, we have wanted all things, and have been consumed by the sword and by the famine.