Yeremia 47 : 3 Jeremiah chapter 47 verse 3

Swahili English Translation

Yeremia 47:3

Kwa sababu ya mshindo wa kukanyaga kwato za farasi wake walio hodari, kwa sababu ya mwendo wa mbiombio wa magari yake ya vita; kwa sababu ya ngurumo ya magurudumu yake, hao akina baba hawatazami nyuma ili kuwaangalia watoto wao, kwa kuwa mikono yao ni dhaifu;
soma Mlango wa 47

Jeremiah 47:3

At the noise of the stamping of the hoofs of his strong ones, at the rushing of his chariots, at the rumbling of his wheels, the fathers don't look back to their children for feebleness of hands;