Yohana 10 : 16 John chapter 10 verse 16

Swahili English Translation

Yohana 10:16

Na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; na sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.
soma Mlango wa 10

John 10:16

I have other sheep, which are not of this fold. I must bring them also, and they will hear my voice. They will become one flock with one shepherd.