Yoshua 14 : 2 Joshua chapter 14 verse 2

Swahili English Translation

Yoshua 14:2

kwa kuandama hiyo kura ya urithi wao, vile vile kama Bwana alivyoamuru kwa mkono wa Musa, kwa ajili ya hizo kabila kenda, na hiyo nusu ya kabila.
soma Mlango wa 14

Joshua 14:2

by the lot of their inheritance, as Yahweh commanded by Moses, for the nine tribes, and for the half-tribe.