Yoshua 14 : 2 Joshua chapter 14 verse 2
Swahili | English Translation |
---|---|
Yoshua 14:2
kwa kuandama hiyo kura ya urithi wao, vile vile kama Bwana alivyoamuru kwa mkono wa Musa, kwa ajili ya hizo kabila kenda, na hiyo nusu ya kabila.
|
Joshua 14:2by the lot of their inheritance, as Yahweh commanded by Moses, for the nine tribes, and for the half-tribe. |