Yoshua 2 : 12 Joshua chapter 2 verse 12
Swahili | English Translation |
---|---|
Yoshua 2:12
Basi sasa, nawasihi, niapieni kwa Bwana, kwa kuwa nimewatendea ihisani, ya kwamba ninyi nanyi mtaitendea ihisani nyumba ya baba yangu; tena nipeni alama ya uaminifu;
|
Joshua 2:12Now therefore, please swear to me by Yahweh, since I have dealt kindly with you, that you also will deal kindly with my father's house, and give me a true token; |